Saturday, February 2, 2013

DAWA BARIDI NA MAFUA! WATOTO JE!

Wataalamu wanashauri kutotumia dawa baridi (over the counter) kutibu magonjwa ya kikohozi na mafua kwa watoto wadogo. Tafiti zinaonesha kwamba hazisaidii kupunguza dalili za ugonjwa kwa watoto wenye umri mdogo. Na huweza kuwa  sumu, hasa pale ambapo hutumika zaidi ya dose iliyowekwa(over dose) .

No comments:

Post a Comment