- kwa kawaida mtoto anapofikisha umri huo huwa ukuaji wake (rate of growth) hupungua na mahitaji ya virutubisho vya mwili (nutrition requirements) pia hupungua.Wakati huu watoto huwa wanaanza kujifunza kujitegemea kwa kuanza kuchagua vile wanavyovipenda na vile wasivyovipenda.ni vizuri kutambua hii ni kawaida kwa watoto katika umri huu!
THIS BLOG IS DESIGNED FOR INQUIRIES ABOUT HEALTH ISSUES OF CHILDREN. IT PROVIDES FAMILIES WITH PERSPECTIVE,ADVICE AND COMFORT ABOUT WIDE RANGE OF PHYSICAL,EMOTIONAL AND BEHAVOURAL ISSUES THAT AFFECT CHILDREN AND ADOLESCENTS. IF YOU ARE LOOKING FOR INFORMATION YOU CAN TRUST ABOUT YOUR CHILD KEEP ON VISITING US! THE BLOG ENCOMPASSES PANEL OF EXPERTS IN PAEDIATRICS AND CHILD HEALTH WITH EXTENSIVE KNOWLEDGE, AND ENSURE THE INFORMATION IS UP-TO-DATE.
Sunday, February 17, 2013
KUKOSA HAMU YA KULA KWA WATOTO!
kukosa hamu ya kula huwatokea watoto wengi hasa wale wenye umri kati ya miaka 2-6. Wazazi huwa na wasiwasi sana mtoto wao asipokula vizuri,lakini tatizo hili husababishwa na nini? kama mtoto hana ugonjwa wowote basi sababu huwa hii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment