Sunday, February 17, 2013

KUKOSA HAMU YA KULA KWA WATOTO!

kukosa hamu ya kula huwatokea watoto wengi hasa wale wenye umri kati ya miaka 2-6. Wazazi huwa na wasiwasi sana mtoto wao asipokula vizuri,lakini tatizo hili husababishwa na nini? kama mtoto hana ugonjwa wowote basi sababu huwa hii
  • kwa kawaida mtoto anapofikisha umri huo huwa ukuaji wake (rate of growth) hupungua na mahitaji ya virutubisho vya mwili (nutrition requirements) pia hupungua.Wakati huu watoto huwa wanaanza kujifunza kujitegemea kwa kuanza kuchagua vile wanavyovipenda na vile wasivyovipenda.ni vizuri kutambua hii ni kawaida kwa watoto katika umri huu!

No comments:

Post a Comment