Saturday, February 2, 2013

MAFUA NA WATOTO! UFANYE NINI UKIWA NYUMBANI?

Mafua kwa watoto limekuwa tatizo linalowasumbua wakina mama wengi! unaweza kuanza kufanya yafuatayo ili kumsaidia mtoto!
  • muweke mtoto apumzike sehemu yenye hewa ya kutosha na salama kama kitandani
  • mpe fluids(maji,au juice ya matunda) kwa wingi hasa yenye Vitamin C
  • anapokuwa na joto mpatie paracetamol (panadol) badala ya aspirin
  • atahitaji uangalizi wa karibu au mpeleke kwa daktari kama kuna yafuatayo            
                                 -  mtoto wako ni mdogo chini ya mwezi mmoja
                                 - ana mafua mazito ambayo yanamkosesha kupumua vizuri
                                 - mafua yanatoka mfululizo kama maji

No comments:

Post a Comment