Tuesday, February 5, 2013

UMUHIMU WA MAZIWA YA MAMA! UNASEMAJE

  • Watoto wanaonyonya maziwa ya mama hupata kinga nzuri dhidi ya magonjwa mengi kama kisukari,kansa na magonjwa ya moyo.
  • Maziwa ya mama humsaidia mtoto asipatwe na magonjwa ya kuhara.
  • Humsaidia mtoto asipatwe na magonjwa ya meno kama kuoza. 

No comments:

Post a Comment